Home » » MTAZAMO WANGU

MTAZAMO WANGU

Mpendwa nakukaribisha katika kipindi hiki cha elimu juu ya Bikira Maria ambacho kitakueleza mengi kumhusu mama yetu B.Maria na jinsi maandiko matakatifu na kanisa vinavyosema juu yake. Ninaekuletea kipindi hiki ni mimi Padre Richard Joseph Matanda Tesha wa jimbo katoliki  la moshi
Mpendwa kuna kila sababu wewe na mimi kujua maada hii juu ya mama yetu mpendwa B.Maria. kanisa letu limekuwa na utamaduni uliojengwa juu ya Ibada kwa B.Maria tangu zamani kwa kuwa yeye ndiye mama wa Mkombozi wetu. Mama huyu anatuelekeza kwa kristu na tunathubutu kusema “kumjua mama B.Maria ni kumjua Kristo Yesu. Hii ni kwasababu yeye alimuiga kisawasawa naye ni mfano bora wa kuigwa na wakristo wote na Kanisa kwa ujumla.

0 comments:

Post a Comment

RICHARD MATANDA TESHA

 
Support : Richie | Bikira Maria | Elimu Endelevu
Copyright © 2013. BIKIRA MARIA - All Rights Reserved
Template Created by Mwariko Published by Mwariko team
Proudly powered by Jicho la Habari